Sekta ya chakula

Doris Luvanda

Kabla sijapata tuzo nilikuwa nafanya biashara Mbeya pekee ila sasa nafanya biashara na mikoa yote nyanda za juu kusini na nimeongeza ajira kutoka vijana 100 hadi 230.
Sekta ya Urembo na mitindo 2024

Nasra Haonga (Nyanda za Juu kusini – Mbeya)

Nimeongeza idadi ya wateja na kufanukiwa kufungua duka linguine la nguo Kariakoo Dar es asalaam na sasa nafanya kazi nan chi za China, Uturuki na Malaysia.
Malkia ajaye 2025

Grace Kambaulaya (Kanda ya Pwani – Dar es asalaam)

Tangu nimepokea tuzo nimeongeza washirika wapya wa ndani kwenye biashara zangu, wapo walioniunga mkono na kuniongezea wigo wa kibiashara ndani na nje ya mipaka ikiwemo taasisi nyingi na mashirika kadhaa ya kijamii.
Insperational Icon 2025

Rhobi Gibayi (Kanda ya ziwa Tarime)

Imeniongezea umaarufu ndani ya jamii ambayo wengi walikuwa hawajui nafanya nini na sasa nimekuwa nikishiriki mijadala ya mabadiliko ya baadhi tamaduni kandamizi.
Subscribe
SUBSCRIBE NOW

Join Malkia Wa Nguvu  Family 

Stay updated with all latest updates,upcoming events & much more.
close-link
Translate »