
MalkiaWaNguvu2024 imeanza rasmi kanda ya Kaskazini

MalkiaWaNguvu2024 imeanza rasmi kanda ya Kaskazini na leo #LeoTena imefanyika live kutokea soko la Manyema kuelekea kwenye kilele chake tarehe 27 pale AICC Arusha.
Malkia wengi wamejitokeza kushiriki na kusherehekea na CMG kwa mchango mkubwa unaofanywa na wanawake wa Kaskazini katika sekta tofauti.









All Categories
Recent Posts
Malkiawanguvu0 Comments
CLOUDS MEDIA GROUP YAZINDUA MSIMU WA MALKIA WA NGUVU 2025 KWA KAULI MBIU “TWENDE DUNIANI”
Malkiawanguvu0 Comments
Wafanyabiashara Watembelea Soko Kubwa la Fanicha na Vifaa mbalimbali Vya Mapambo – Foshan ,China
Malkiawanguvu0 Comments
Wanawake Wafanyabiashara Chini ya TWCC Wawasili Nchini China.
+ 255 779 888 901
info@malkiawanguvu.co.tz