MalkiaWaNguvu2024 imeanza rasmi kanda ya Kaskazini

MalkiaWaNguvu2024 imeanza rasmi kanda ya Kaskazini na leo #LeoTena imefanyika live kutokea soko la Manyema kuelekea kwenye kilele chake tarehe 27 pale AICC Arusha.

Malkia wengi wamejitokeza kushiriki na kusherehekea na CMG kwa mchango mkubwa unaofanywa na wanawake wa Kaskazini katika sekta tofauti.

Add a Comment

Your email address will not be published.

Subscribe
SUBSCRIBE NOW

Join Malkia Wa Nguvu  Family 

Stay updated with all latest updates,upcoming events & much more.
close-link
Translate »